Surah Al-Humazah ( The Slanderer )

Swahili

Surah Al-Humazah ( The Slanderer ) - Aya count 9

وَيْلٌۭ لِّكُلِّ هُمَزَةٍۢ لُّمَزَةٍ ﴿١﴾

Ole wake kila safihi, msengenyaji!

ٱلَّذِى جَمَعَ مَالًۭا وَعَدَّدَهُۥ ﴿٢﴾

Aliye kusanya mali na kuyahisabu.

يَحْسَبُ أَنَّ مَالَهُۥٓ أَخْلَدَهُۥ ﴿٣﴾

Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!

كَلَّا ۖ لَيُنۢبَذَنَّ فِى ٱلْحُطَمَةِ ﴿٤﴾

Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama.

وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا ٱلْحُطَمَةُ ﴿٥﴾

Na nani atakujuvya ni nini H'ut'ama?

نَارُ ٱللَّهِ ٱلْمُوقَدَةُ ﴿٦﴾

Moto wa Mwenyezi Mungu ulio washwa.

ٱلَّتِى تَطَّلِعُ عَلَى ٱلْأَفْـِٔدَةِ ﴿٧﴾

Ambao unapanda nyoyoni.

إِنَّهَا عَلَيْهِم مُّؤْصَدَةٌۭ ﴿٨﴾

Hakika huo utafungiwa nao

فِى عَمَدٍۢ مُّمَدَّدَةٍۭ ﴿٩﴾

Kwenye nguzo zilio nyooshwa.